Tulianza kuusikia kwenye radio, television, na kusoma mitandaoni, ugonjwa wa
corona. Hatimaye umetugusa kwa namna moja ama nyingine. Idadi ya waathirika
inaongezeka kwa kasi barani ulaya ukilinganisha na barani Afrika, huku nchi ya
Afrika kusini ikiongoza kwa maambukizi. (mpaka post hii inapoandikwa.)
kama nilivyoandika hapo juu hali ni mbaya kwa nchi za Ulaya. Spain na Italy
hakuna watu mitaani, hasa ukizingatia ya kwamba wastani wa vifo kutokana na
ugonjwa huu ni watu 350 ndani ya saa 24.
(Mwandishi wa blog bado mwanafunzi.)
Shuleni hali ilibadilika pale mwathirika wa kwanza aliporipotiwa kupatikana
jijini Arusha. Hiyo ilikua tarehe 16 Aprili, na tarehe 17 Aprili Waziri mkuu
Mheshimiwa Kassim M. alitangaza kufunga shule zote nchini.-ungetamani kufahamu
tamko hili nililichukuliaje - "basi endelea kusoma post na uangalie video.
"
Ila kama kawaida mzozo ulitokea shuleni, wapo waliafiki uamuzi na wengine hawakuafiki maamuzi haya, kila mtu kwa sababu zake.
Nikuulize, unadhani kwanini mgawanyiko huu ulitokea?
Ila kama kawaida mzozo ulitokea shuleni, wapo waliafiki uamuzi na wengine hawakuafiki maamuzi haya, kila mtu kwa sababu zake.
Nikuulize, unadhani kwanini mgawanyiko huu ulitokea?
Ki-uharisia nilichotegemea kukuta mtaani sikukikuta, na hali ilikua tofauti na
mtazamo wangu. Jambo hili lilinifanya kuandaa short experience yangu juu ya
ugonjwa huu na hali nzima katika jamii.
Sasa chukua muda kutazama experience hio katika video hii fupi iliyotengenezwa na Bona_vision Production.
Sasa chukua muda kutazama experience hio katika video hii fupi iliyotengenezwa na Bona_vision Production.
Bofya hapa chini kuangalia video.
Visit our socials