Top 10: Diamond Platnumz amvulumusha Alikiba kwenye ongezeko la subscrbers mwezi July 2021

...

Ndani ya mwezi wa saba (July) wasanii wameongeza YouTube subscribers kwa viwango tofauti. Hitmaker wa ngoma ya 'IYO', Diamond Platnumz kutoka record label ya 'wcb' ndiye aliyeongeza subscribers wengi zaidi. Tangu tuanze kutoa orodha ya wasanii wanaoongeza subscribers kwa kasi zaidi kwenye mtandao wa YouTube kwa mwaka 2021, ni mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kuongoza orodha hii. Tazama orodha kamili.


# Msanii Ongezeko
1 Diamond Platnumz 150K+
2 Rayvanny 140K+
3 Zuchu 100K+
4 Alikiba 86K+
5 Mbosso 70K+
6 Harmonize 50K+
7 Nandy 50K+
8 Lava Lava 28K+
9 Darassa 26K+
10 Killy 22K+

Bona vision production tunaandaa orodha hii kila mwezi hivyo kaa karibu na mitandao yetu ya kijamii ili usikose kufahamu tutakacho kiaandaa.

Post a Comment

0 Comments